Thursday 22 March 2012

WASHINDI WA PROMOSHENI YA AIRTEL MZUKA ARUSHA WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO.

Afisa masoko wa Airtel kanda ya kaskazini Geofrey Sayore akikabidhi simu ya Samsung GT 3210 kwa mshindi wa promosheini ya Mzuka wa Airtel bwn festo Ronald Msoffe wa Arusha mara baada ya kutangazwa kuwa moja kati ya washindi wa promosheni hiyo inayoendea na wateja wa Airtel kujishindi zawadi mbalimbali zikiwemo Simu, ipad, muda wa maongezi na pesa taslimu.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru