Wednesday 20 November 2013

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wa pili kushoto) na viongozi aliofuatana nao, wakishirikiana na wananchi kusomba matofali wakati wa ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Nakahewa,  katika jimbo la Peramiho, Songea Vijijini, jana. Wengine ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (wa tatu kushoto),akifuatiwa na Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro. Picha zaidi.uk.17. (Na Bashir Nkoromo).

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru