Thursday 11 September 2014

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akikaribishwa na Mwenyekiti mstaafu wa CCM, tawi la Uingereza, Maino Owino kwenye ukumbi wa mikutano wa Kituo cha Mafunzo cha Barking.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru