Sunday 13 July 2014

JK AKINUNUA MAHITAJI YA NYUMBANI


RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, juzi, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya Sekondari Kipumbwi.(Picha na Freddy Maro)

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru