Thursday 20 June 2013

Pinda avipa rungu vyombo vya dola


Na Theodos Mgomba, Dodoma
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema serikali itatumia njia yoyote inayostahili ili
kuwadhibiti wote watakaojaribu kuvunja amani na utulivu nchini. ia amesema mtu yeyote
atakayefanya fujo na akakaidi amri ya vyombo vya dola, atapigwa kwa kuwa hamna namna
nyingine.
Waziri mkuu alisema hayo bungeni jana, alipojibu maswali ya papo kwa hapo.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru