Tuesday 15 October 2013


RAIS Jakaya Kikwete akimkaribisha Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Ikulu, mjini Dar es Salaam, jana.  Kushoto ni Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, James Mbatia na katikati ni Mwenyekiti wa CUF, Professa Ibrahim Lipumba. Rais Kikwete alikutana na viongozi hao na kuzungumza nao.  Picha zaidi uk. 17. (Na Freddy Maro).

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru