Tuesday 25 June 2013

Carlo Ancelotti abeba mikoba ya Special One

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa PSG, Mtaliano Carlo Ancelotti ametangazwa rasmi kuwa kocha wa Real Madrid kuchukua mikoba ya Jose Mourihno aliyejirudisha Chelsea. Ancelotti aliyewahi kutamba na AC Milan kabla ya kutimuliwa Chelsea, ametangazwa rasmi jana. Nafasi yake PSG imechukuliwa na mlinzi wa zamani wa Man Utd, Laurent Blanc.

                                          Carlo Ancelotti

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru