Tuesday 25 June 2013

KAMPUNI ZA SIMU ZAITUNISHIA MISULI SERIKALI


KAMPUNI za simu za mkononi nchini zimeitunishia misuli serikali kwa kusema kuwa, msimamo wao wa kuongeza gharama za huduma za kupiga simu kwa wateja upo pale pale na utaanza Julai Mosi, mwaka huu, kama walivyoapanga.
Habari zilizoifikia blog hii hivi punde zinasema kuwa uamuzi uliotolewa na serikali kutaka kampuni hizo kutoongeza gharama za huduma za simu kwa wateja wao kutokana na kushuka kwa gharama za uendeshaji, umekataliwa na kampuni hizo. HABARI ZAIDI SOMO UHURU KESHO

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru