Saturday 28 December 2013

KAIMU Kamanda wa Kikosi cha Polisi TAZARA, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi, Innocent Mgaya akionyesha vipande vya meno ya tembo na jino la kiboko yaliyokamatwa wilayani Morogoro Vijijini yalipokuwa yakisafirishwa kwa treni ya abiria kupelekwa Dar es Salaam,juzi.Kulia ni Mrakibu wa Polisi, Shaban Ng'wamkay.(Picha na Jumanne Gude).

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru