Friday 19 July 2013

RAIS Jakaya Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba. Mazungumzo hayo yaliyofanyika jana, Ikulu, mjini Dar es Salaam,  yalihusu masuala mbalimbali ya kiasa na kiuchumi nchini. (Picha na Freddy Maro).

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru