Thursday 20 March 2014

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge, jimbola Chalinze, uliofanyika juzi katika uwanja wa Miembesaba. Katika uchaguzi huo unaofanyika kutokana na kifo cha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, marehemu Said Bwanamdogo, CCM inawakilishwa na Ridhiwani Kikwete.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru