Tuesday 25 March 2014

RC Mara afariki dunia


MKUU wa Mkoa wa Mara, John Tuppa, amefariki dunia leo asubuhi. Habari zaidi zinasema Tuppa alifariki baada ya kudondoka akiwa kwenye ofisi za mkuu wa wilaya. Endelea kufuatilia uhuruonline na kwa undani zaidi kwenye gazeti la UHURU toleo la Kesho.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru