Tuesday 29 October 2013

DARAJA LA KIKWETE LAKAMILIKA


WANANCHI wa mikoa ya Kigoma, Tabora na mingine ya jirani sasa watasafiri kwa raha mustarehe kutokana na kukamilika kwa sehemu kubwa ya barabara na Daraja la Kikwete, lililojengwa katika Mto Malagarasi, mkoani Kigoma. Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli, alifanya ziara kukagua ujenzi huo kama msafara wake unavyoonekana pichani. (Picha na Martin Ntemo).

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru