Tuesday 19 November 2013


KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wa pili kulia) na msafara wake, wakinywa chai nyumbani kwa Mjumbe wa Shina Namba Sita, Saidi Hussein (kulia), katika Kijiji cha Mchomora, Namtumbo. Kushoto ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru