Friday 19 July 2013

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizindua jarida maalum la Vivutio vya Uwekezaji mkoani Tabora, jana wakati wa mkutano wa pamoja kati ya taasisi za serikali na sekta binafsi. Mkutano huo uliojadili fursa za uwekezaji zilizoko mkoani humo ulifanyika jana, Hoteli ya Serena, Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa huo,  Fatma Mwasa. Kulia ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru