Thursday 26 September 2013

CCM YATIKISA RORYA


MAELFU ya wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama hicho Abdulrahaman Kinana, alipokuwa akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Viwanja vya Shirati Obwere wilayani Rorya, jana. 

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru