Wednesday 17 September 2014

ZIARA YA KINANA MKOANI PWANI

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakiwa kwenye mtumbi, wakielekea Pwani ya Mafia baada ya kushuka kwenye boti wakati msafara wao ulipowasili wilayani humo. Katikati anayepunga mkono ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Pwani, Mwishehe Mlao.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru