Saturday 20 September 2014

ZIARA YA KINANA MKOANI PWANI

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikaribishwa wilayani Kisarawe, kuendelea na ziara yake mkoani Pwani ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kushauriana nao jinsi ya kuzitatua.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru