Tuesday 1 July 2014

MAONYESHO YA SABA SABA KATIKA PICHA

MKUU wa Kitengo cha Masoko na Uhusiano wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Lylian Mpanju, akiwaeleza wananchi majukumu ya taasisi hiyo, wakati wa Maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam, Uwanja wa Maonyesho wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam, jana. (Picha zote na Yassin Kayombo).

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru