Tuesday 15 July 2014


Nyalandu  (watatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Waandamizi wa Taasisi ya inaundwa na Wanajeshi Wastaafu wa jeshi la Marekani walioanzisha umoja wao ujulikanao kama (VETPAW)kwa ajili ya kusaidia Uhifadhi wa Wanyamapori barani Afrika mara baada ya kumaliza mazungumzo baina yao jana jijini New York, Marekani.  Kushoto ni Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru