Tuesday 15 July 2014

NYALANDU AKUTANA VIONGOZI WA UHIFADHI WANYAMAPORI


Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Waandamizi wa Taasisi ya Vulcan ya nchini Marekani  Bw. Dave Stewart (kushoto) na Bi. Lauren Ryder, inayojihusisha na masuala ya kuidadi tembo katika nchi 18 barani Afrika ikiwemo Tanzania, baada ya kufanya mazungumzo maalum ya ushirikiano yaliyofanyika katika jiji la New York nchini Marekani jana.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru