Saturday 14 March 2015

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM - ARUSHA

 KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia mkutano wa hadhara mjini Mondoli, mkoani Arusha..
 KATIBU Mkuu wa CCM, Kinana, akiwasha umeme, kuzindua umeme Mradi wa umeme, katika Kijiji cha Lolkisal, wilayani Monduli.

KATIBU wa halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akihutubia m,kutano wa hadhara, Mto wa Mbu, wilayani Monduli.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru